Asili
Asiyejua
Asiwe cha kujivunia
Akashauriwa na kuzainiwa
Asasi na fasili zao kuzitumia kama mkiwa,
Ashakum si matusi huyo keshapotea vigumu kuendeea:
Si hai
Ni mfu
Mumit
Ni mti unaonyauka ambao hautazaa tena tunda wala mbegu!
Post a Comment
No comments:
Post a Comment