Saturday, January 28, 2012

Asili


 

Asili

Asiyejua

Asiwe cha kujivunia

Akashauriwa  na kuzainiwa

Asasi na fasili zao kuzitumia kama mkiwa,

Ashakum si matusi huyo keshapotea vigumu kuendeea:

Si hai

Ni mfu

Mumit

Ni mti unaonyauka ambao hautazaa tena tunda wala mbegu!

No comments: